Rais Aahidi Kuendelea Kukabiliana Na Ufisadi

Rais William Ruto amekubali kuwa mageuzi yake yasiyopendwa, ikiwa ni pamoja na Mamlaka ya Afya ya Jamii (SHA), ujenzi wa nyumba za bei nafuu, na mfumo mpya wa ufadhili wa vyuo vikuu, yamechangia viwango vyake vya sasa vya chini vya kuidhinishwa. Akizungumza wakati wa mkutano wa pamoja wa kikundi cha bunge cha ODM-Kenya Kwanza siku…

KESI DIDHI YA JAJI MKUU MARTHA KOOME YA TUPILIWA MBALI

Kesi ya kuwatimua majaji sita akiwemo jaji mkuu Martha Koome imetupiliwa mbali na tume ya huduma za mahakama JSC kwa kutotimiza vigezo vya katiba. Aliye kuwa rais wa chama cha wanasheria nchini LSK Nelson Havi,Edwin Dande ambaye ni mwanabiashara,Victoria Naishorua na kampuni ya Benjoh Amalgamated and Muiri Coffee Estate,ndio walalamishi. Majaji walioponea hoja hiyo ya…