MASUALA MANNE MUHIMU AMBAYO RUTO NA VIONGOZI WENGINE WA EAC WATAYAJADILI JIJINI ARUSHA LEO

Marais wote wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanakutana leo hii mjini Arusha, Tanzania.Katika mkutano huo,marais hao  wamepangwa kujadili msururu wa masuala  yanayohusu wananchi katika  maeneo mbalimbali. Baadhi ya maeneo yatakayozingatiwa sana ni kuhusu uchumi na kwa kiasi kikubwa ushirikiano baina ya mataifa. Mkutano huo ni Mkutano wa 23 wa Kawaida ya wakuu wa Nchi za…

RAIS WILLIAM RUTO AMESEMA KUWA SERIKALI YAKE ITABINAFSISHA MASHIRIKA 35 YA SERIKALI YALIYOKWAMA ILI KUYAFUFUA TENA NA KUONGEZA TIJA

Hatua hii inafuatia kupitishwa kwa sheria bungeni inayoruhusu ubinafsishaji wa mashirika ya serikali. Ubinafsishaji wa mashirika hayo ni mojawapo ya mapendekezo yaliyototolewa kwa serikali ya Kenya na Shirika la Kimataifa la Fedha, IMF kama njia moja ya kufufua uchumi uliodorora. Ili kunusuru uchumi wa nchi hii, IMF imetangaza kutoa mkopo wa dola bilioni 12 mwaka…

BI SALAMA MASHA AELEZEA ALIVYONUSURIKA MAUTI NA WANAWE WATATU SHAKAHOLA MUMEWE AKISALIA “KUONANA NA YESU”

Mwanamke mmoja mkaazi wa Kilifi aliyenusurika kifo katika msitu wa Shakahola, Kaunti ya hiyo, amesimulia kilichojiri katika msitu huo ambao ndani yake zaidi ya wafuasi 400 wa mhubiri Paul Mackenzie waliangamia. Bi Salama Masha, anasema haikuwa rahisi kwake kukabiliana na changamoto alizopitia. Anaelezea “Kabla ya kuhamia msitu wa Shakahola kutoka Malindi, mhubiri mgeni Mzungu alialikwa…

RAIS WA ROMANIA AWASILI KENYA KWA ZIARA YA SIKU TATU

Rais wa Romania Klaus Werner Iohannis awasili nchini Kenya, kwa ziara ya kiserikali ya siku tatu. Kuwasili kwake hapa nchini Jumatatu jioni, ni sehemu ya ziara yake ya mataifa manne barani Afrika. Kulingana na afisi ya Rais wa Romania, Rais Iohannis anatarajiwa kuzuru Kenya, Tanzania, Cape Verde na Senegal kati ya tarehe 14 na 23…

INUA JAMII CASH TRANSFER PROGRAM 2023 DISBURSED

The government has disbursed Sh2.8 billion for the Inua Jamii Cash transfer program for July 2023. An extra Sh4.3 million has additionally been released for the Nutrition Improvement through Cash and Health Education (NICHE) program, which complements the Inua Jamii initiative. Joseph Motari, the Principal Secretary of the State Department for Social Protection and Senior…