Mshindi Wa Rekodi Ya Mbio Za Marathon Kelvin Kiptum Azikwa Leo.
Mshindi wa rekodi ya mbio za marathon humu nchini kelvin kiptum mwenye umri wa miaka 24 anazikwa leo katika uwanja wa riadha wa taifa baada kufariki katika ajali ya gari. Rais william ruto na mkuu wa riadha duniani sebastian coe, wanatarajiwa kuwa miongoni mwa watakao hudhuria mazishi katika eneo la rift valley ambapo kiptum…