No Region Will Be left out in Development

President William Ruto reaffirmed his administration’s commitment to fast-tracking development across all regions, dismissing opposition claims that some areas have been neglected. Speaking during a four-day working tour of the Western region — which began on October 30, 2025, and concludes on November 2, 2025 — the President emphasized that no part of the country…

Senate Mashinani Kicks Off in Busia County

The fourth edition of Senate Mashinani has officially begun in Busia County, where the Senate will hold its sittings for one week at the Busia County Assembly. Senate Speaker Amason Kingi said the sessions aim to strengthen collaboration between the Senate, county governments, and the national government. The initiative follows a Senate resolution to conduct…

Rais Ruto Atangaza Agosti 27 kuwa Siku ya Katiba

  Nairobi, Jumatatu, Agosti 25, 2025 – Rais William Ruto ametangaza na kuitawaza tarehe 27 Agosti kuwa Siku ya Katiba, kumbukumbu ya siku ambayo katiba ya sasa ya Kenya ilizinduliwa mwaka 2010. Akilihutubia taifa asubuhi ya leo, Rais Ruto alisema maadhimisho hayo yataashiria miaka 15 tangu Kenya ilipopiga hatua muhimu katika safari yake ya kidemokrasia.…

Rais Aahidi Kuendelea Kukabiliana Na Ufisadi

Rais William Ruto amekubali kuwa mageuzi yake yasiyopendwa, ikiwa ni pamoja na Mamlaka ya Afya ya Jamii (SHA), ujenzi wa nyumba za bei nafuu, na mfumo mpya wa ufadhili wa vyuo vikuu, yamechangia viwango vyake vya sasa vya chini vya kuidhinishwa. Akizungumza wakati wa mkutano wa pamoja wa kikundi cha bunge cha ODM-Kenya Kwanza siku…

KESI DIDHI YA JAJI MKUU MARTHA KOOME YA TUPILIWA MBALI

Kesi ya kuwatimua majaji sita akiwemo jaji mkuu Martha Koome imetupiliwa mbali na tume ya huduma za mahakama JSC kwa kutotimiza vigezo vya katiba. Aliye kuwa rais wa chama cha wanasheria nchini LSK Nelson Havi,Edwin Dande ambaye ni mwanabiashara,Victoria Naishorua na kampuni ya Benjoh Amalgamated and Muiri Coffee Estate,ndio walalamishi. Majaji walioponea hoja hiyo ya…

Gachagua Amtaka Rais Trump Kuteua Balozi Mpya

Kinara wa DCP Righathi Gachagwa sasa anamtaka Rais wa Marekani Donald Trump kufanya uteuzi wa balozi ambaye hana mapendeleo kwa utawala wa Rais Ruto. Gachagua akiwa katika mahojiano jijini Kansas,Amerika,anasema kuwa Rais Trump atasaidia pakubwa katika ukombozi wa taifa la Kenya iwapo atateua balozi ambaye hana mapendeleo. Kulingana na Gachagua Rais Trump anastahili kumtuma balozi…