Rais Ruto Atangaza Agosti 27 kuwa Siku ya Katiba

  Nairobi, Jumatatu, Agosti 25, 2025 – Rais William Ruto ametangaza na kuitawaza tarehe 27 Agosti kuwa Siku ya Katiba, kumbukumbu ya siku ambayo katiba ya sasa ya Kenya ilizinduliwa mwaka 2010. Akilihutubia taifa asubuhi ya leo, Rais Ruto alisema maadhimisho hayo yataashiria miaka 15 tangu Kenya ilipopiga hatua muhimu katika safari yake ya kidemokrasia.…

Rais Aahidi Kuendelea Kukabiliana Na Ufisadi

Rais William Ruto amekubali kuwa mageuzi yake yasiyopendwa, ikiwa ni pamoja na Mamlaka ya Afya ya Jamii (SHA), ujenzi wa nyumba za bei nafuu, na mfumo mpya wa ufadhili wa vyuo vikuu, yamechangia viwango vyake vya sasa vya chini vya kuidhinishwa. Akizungumza wakati wa mkutano wa pamoja wa kikundi cha bunge cha ODM-Kenya Kwanza siku…

KESI DIDHI YA JAJI MKUU MARTHA KOOME YA TUPILIWA MBALI

Kesi ya kuwatimua majaji sita akiwemo jaji mkuu Martha Koome imetupiliwa mbali na tume ya huduma za mahakama JSC kwa kutotimiza vigezo vya katiba. Aliye kuwa rais wa chama cha wanasheria nchini LSK Nelson Havi,Edwin Dande ambaye ni mwanabiashara,Victoria Naishorua na kampuni ya Benjoh Amalgamated and Muiri Coffee Estate,ndio walalamishi. Majaji walioponea hoja hiyo ya…

Gachagua Amtaka Rais Trump Kuteua Balozi Mpya

Kinara wa DCP Righathi Gachagwa sasa anamtaka Rais wa Marekani Donald Trump kufanya uteuzi wa balozi ambaye hana mapendeleo kwa utawala wa Rais Ruto. Gachagua akiwa katika mahojiano jijini Kansas,Amerika,anasema kuwa Rais Trump atasaidia pakubwa katika ukombozi wa taifa la Kenya iwapo atateua balozi ambaye hana mapendeleo. Kulingana na Gachagua Rais Trump anastahili kumtuma balozi…

Harambee Stars Hold Angola in Fiery CHAN Clash

Kenya’s Harambee Stars fought to a gritty 1–1 draw with Angola in a dramatic CHAN Group A showdown at Kasarani. Angola struck early through Jó Paciência, but Austin Odhiambo levelled from the spot after a VAR-reviewed foul. The hosts played over 70 minutes with ten men after Marvin Nabwire’s yellow card was upgraded to red…

ODM Commits To Full Support for Kenya Kwanza And to Joint Agenda Implementation

The Orange Democratic Movement (ODM) has formally announced its full backing of the Kenya Kwanza administration, vowing to collaborate with President William Ruto to advance the government’s broad-based development agenda. In a resolution passed on Tuesday by the party’s Central Committee, chaired by ODM leader Raila Odinga, the party reaffirmed its dedication to promoting national…

The Surge of Non‑Communicable Diseases

Kenya is facing a growing epidemic: non‑communicable diseases now account for nearly 40% of all deaths—a dramatic shift from past decades when infectious diseases dominated. Alarmingly, half of hospital admissions and more than 40–55% of hospital deaths are now due to NCD Major Illnesses at the Heart of the Problem Hypertension (high blood pressure): Affects…

Weight Management And Ideal Weight

What Does “Ideal Weight” Really Mean? The idea of an “ideal weight” isn’t one-size-fits-all. Doctors use weight as one of several markers to assess your overall health — but it’s only a small part of the bigger picture. A healthy weight range is different for each person. It’s shaped by factors like your age, genetics,…