MARAIS WA NCHI NA WAWAKILISHI WA VIONGOZI WA NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WALIKUTANA ALHAMISI JIJINI ARUSHA, TANZANIA KWA MKUTANO WA 23 KUHUSU MABADILIKO YA TABIA NCHI NA USALAMA WA CHAKULA

Kikao hicho kilijadili njia za kutafuta majawabu dhidi ya athari za mabadiliko ya tabia nchi katika upatikanaji wa chakula yanayohusu moja kwa moja uhai wa nchi za Afrika Mashariki, watu, maendeleo na ustawi katika siku za usoni. Rais William Ruto alisistiza kuwa uhifadhi wa mazingira ni swala nyeti Afrika Mashariki na akaahidi kushikiniza kusainiwa kwa…

MASUALA MANNE MUHIMU AMBAYO RUTO NA VIONGOZI WENGINE WA EAC WATAYAJADILI JIJINI ARUSHA LEO

Marais wote wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanakutana leo hii mjini Arusha, Tanzania.Katika mkutano huo,marais hao  wamepangwa kujadili msururu wa masuala  yanayohusu wananchi katika  maeneo mbalimbali. Baadhi ya maeneo yatakayozingatiwa sana ni kuhusu uchumi na kwa kiasi kikubwa ushirikiano baina ya mataifa. Mkutano huo ni Mkutano wa 23 wa Kawaida ya wakuu wa Nchi za…

RAIS WILLIAM RUTO AMESEMA KUWA SERIKALI YAKE ITABINAFSISHA MASHIRIKA 35 YA SERIKALI YALIYOKWAMA ILI KUYAFUFUA TENA NA KUONGEZA TIJA

Hatua hii inafuatia kupitishwa kwa sheria bungeni inayoruhusu ubinafsishaji wa mashirika ya serikali. Ubinafsishaji wa mashirika hayo ni mojawapo ya mapendekezo yaliyototolewa kwa serikali ya Kenya na Shirika la Kimataifa la Fedha, IMF kama njia moja ya kufufua uchumi uliodorora. Ili kunusuru uchumi wa nchi hii, IMF imetangaza kutoa mkopo wa dola bilioni 12 mwaka…

BI SALAMA MASHA AELEZEA ALIVYONUSURIKA MAUTI NA WANAWE WATATU SHAKAHOLA MUMEWE AKISALIA “KUONANA NA YESU”

Mwanamke mmoja mkaazi wa Kilifi aliyenusurika kifo katika msitu wa Shakahola, Kaunti ya hiyo, amesimulia kilichojiri katika msitu huo ambao ndani yake zaidi ya wafuasi 400 wa mhubiri Paul Mackenzie waliangamia. Bi Salama Masha, anasema haikuwa rahisi kwake kukabiliana na changamoto alizopitia. Anaelezea “Kabla ya kuhamia msitu wa Shakahola kutoka Malindi, mhubiri mgeni Mzungu alialikwa…

GOVERNORS ASK GACHAGUA TO ‘STOP POPULIST POLITICS’

Controversy surrounding the government’s response to El Niño took a new turn on Wednesday after governors said the state has not disbursed emergency funds to counties. Through the Council of Governors chairperson Anne Waiguru, they told Deputy President Rigathi Gachagua to “stop populist politics in matters of life and death”. “This is not the time…

DP GACHAGUA HEADS TO EQUATORIAL GUINEA FOR C-10 SUMMIT

Deputy President Rigathi Gachagua leaves the country today Thursday, November 23, 2023 for Ciudad de la Paz (formerly Oyala) in Equatorial Guinea, to participate at the Summit of the Committee of Ten (C-10) of the African Union Heads of State and Government on the reform of the United Nations Security Council (UNSC). Gachagua will represent…

ICT AUTHORITY TAPS MICROSOFT TO HELP GOV’T ADOPT CLOUD-FIRST APPROACH IN SERVICES DELIVERY

The Information and Communication Technology (ICT) Authority has signed a Memorandum of Understanding with Microsoft which will see the American tech company assist the government in adopting a cloud-first strategy in public service delivery. Under the agreement signed on Tuesday, Microsoft will engage the national government, ministries, departments and agencies through the ICT Authority in…