KAMATI YA SENETI YATOZA GAVANA SAKAJA FAINI KUBW

Kukosekana kwa Gavana Johnson Sakaja wa Nairobi katika mikutano ya kamati ya Seneti kuhusu ukarabati wa mitaa ya zamani jijini limeibua mjadala mkubwa. Huku akitakiwa mara kadhaa kufika mbele ya kamati hiyo, Sakaja amekaidi maagizo hayo, hatua iliyosababisha kamati kumtoza faini ya shilingi 500,000. Kulingana na mwenyekiti wa kamati hiyo, Seneta Karungo Thangwa, Sakaja alialikwa…

RAILA ODINGA SET TO UNVEIL NADCO REPORT DIRECTION AMIDST AZIMIO COALITION DIVISIONS

As Kenya supports itself for potential shifts in political landscape, the National Dialogue Committee (NADCO) report has emerged as a focal point of anticipation and contention within the Azimio coalition. Opposition leader Raila Odinga, a prominent figure within the coalition, has announced plans to provide clarity and direction regarding the report’s implications on Thursday, following…

WATU ZAIDI YA MILIONI MBILI WAMEATHIRIKA KWA MAFURIKO KUTOKANA NA MVUA KUBWA INAYONYESHA NCHINI SOMALIA HUKU MAMIA WAKIANGAMIA

Kufikia jana Alhamisi, watu 100 waliripotiwa kufariki kutokana na mafuriko huku maelfu ya nyumba zikisombwa au kufunikwa kwa maji ya mafuriko. Serikali ya Somalia ilitangaza mafuriko kuwa janga la kitaifa mapema mwezi huu. Mataifa mengi ya upembe wa Afrika yameshudia mafuriko tangu mwezi Oktoba mwaka huu kutokana na mvua kubwa. Nchini Kenya, mvua kubwa inanyesha…