Habari Za Spoti

WAKENYA DIANA CHEPKEMOI NA MERCY CHEPNGENO WALIIPEPERUSHA VYEMA BENDERA YA KENYA BAADA YA KUTWAA MEDALI ZA DHAHABU NA FEDHA MTAWALIA KATIKA FAINALI YA MBIO ZA MITA ELFU TATU KURUKA VIUNZI KWENYE MASHINDANO YA AFRICA ATHLETICS CHAMPIONSHIP HUKO ACCRA GHANA. KPL KATIKA SOKA, TIMU YA TAIFA YA KENYA HARAMBEE STARS LEO JUMANNE MEI KUMI NA TISA…

Read more

Sekunde 9.98 Za Omanyala.

Tuanzie na riadha ambapo bingwa mara nne wa dunia katika mbio za mita elfu moja mia tano, Faith Kipyegon, ameanza msimu kwa kishindo baada ya kushinda mbio za mita elfi tano kwenye mashindano ya Diamond League yaliyofanyika mjini Shanghai, China. Kipyegon alitumia dakika 14 24.14 na kuweka muda bora zaidi duniani msimu huu katika mbio…

Read more

“THE KIBUYU DAY-ERICK OMONDI”

This Monday morning seemed to be unusual. Across social media platforms, from TikTok to Facebook and X, one phrase dominated conversations, “Kibuyu Day.” What started as an online slogan quickly turned into a national conversation about pain, anger, survival, and the growing frustration among ordinary Kenyans struggling to make ends meet. In Nairobi’s CBD, young…

Read more

David Keter Wins Emurua Dikirr By-Election as UDA Holds Seat Amid Rising DCP Challenge

UDA candidate David Kipsang Keter, popularly known as Dollarline, won the Emurua Dikirr parliamentary by-election, handing President William Rutos party a crucial victory in a contest that also exposed the changing political mood in the South Rift. Keter was declared winner after polling 18,266 votes, defeating DCP candidate Vincent Kibet Rotich, who garnered 10,760 votes.…

Read more

Kuanza na hapa nyumbani transzoia County, klabu ya Kiminini Combined FC maarufu kama Bazuu Boys imeandika historia baada ya kutwaa ubingwa wa FKF Division One Zone C na rasmi kupanda daraja kwenda National Super League, NSL. Katika mchezo uliochezwa hapa juzi kwenye uwanja wa Eldoret Showground, Bazuu Boys waliibuka na ushindi wa mabao mawili kwa…

Read more